Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi

Mwanafunzi Isra Hilal Mwadini akifuatiwa na mwenzake Tamima Abass Sheha wakipokea zawadi kutoka kwa mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wakati wa hafla ya Maulidi ya Jumuiya ya Chuo cha Samael Academy.Kulia ya Balozi Seif ni Rais wa Sameil Academy Sheikh Nassir Bin Said.

Friday, 20 February 2015

Balozi Seif Afungua Mkutano wa Unaozungumzia Changamoto za Ukuaji wa Mji.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiufungua Mkutano wa Siku mbili wa kanda unaozungumzia changamoto za ukuaji wa Miji pamoja na kushughulikia hali ya baadaye ya Miji ya  Afrika unaofanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency Kilimanjayo Mjini Dara es salaamu. Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Siku mbili unaozungumzia changamoto...

Wednesday, 18 February 2015

Moto wadhibitiwa hifadhi ya Taifa ya msitu wa Jozani

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Kilimo na Mali Asili wakati alipotembelea eneo liloathirika kwa moto kwenye Hifadhi ya Msitu wa Jozani Mkoa wa Kusini Unguja.Mwanzo kushoto ni Waziri wa Kilimo na Mali Asili Zanzibar Dr. Sira Ubwa Mwamboya na Katbu Mkuu wa Wizara hiyo Nd. Afan Othman Maalim.  Baadhi ya...

Waziri Aboud akiendelea na ziara nchini Dubai

Waheshimiwa Janet Mbene na Mohammed Aboud, leo wameendelea na ziara yao ya kikazi Dubai. Katika kikao cha leo, ujumbe huu pamoja na mwenyeji wao Mhe. Omar Mjenga, wamefanya mazungumzo ya biashara na Rais Mstaafu wa Comoro Mzee Sambi. Pichani ni mazungumzo hayo yakiendelea.     Mawaziri Mohamed Aboud na Janet Mbene wakiwa katika picha ya pamoja na...

Sunday, 15 February 2015

Balozi Seif Awataka Wananchi Waliojenga Katika Viazio vya Maji, kuacha ujenzi maeneo hayo.

Mkuu wa Wilaya ya Magharibi Nd. Ayoub Moh’d Mahmoud kushoto aliyevaa kanzu na kofia ya Kiua akitoa maelezo mbele ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif  Ali Iddi wa Pili kutoka Kulia kuhusu eneo la Msitu wa Kimaumbile liliopo masingini Dole pamoja na lile ya vianzio vya maji Dole.Kushoto ya Balozi Seif ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa...

Balozi Seif Atembelea hoteli ilioungua kwa moto Nungwi Kendwa.

Baadhi ya Sehemu za jengo la Jiko la Hoteli ya Kendwa Rocks iliyoko Mkoa wa Kaskazini Unguja ambalo iliuungua moto ulisababishwa na hitilafu za umeme.Wahandisi wa Hoteli ya Kendwa wakijaribu kurejesha miundo mbinu ya umeme iliyoathirika kutokana na moto mkubwa uliotokea kwenye Hoteli hiyo. Jengo la Jiko la Hoteli ya Kendwa Rocks lililoungua vibaya mwa moto...

Thursday, 5 February 2015

Balozi Seif Azungumza na Mwakilishi wa Kampuni ya Ms Shimoja. ya Marekani

Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani ambae pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Ms Shimoja ya Nchini Marekani Dr. Robert Shumake akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake iliyopo katika Jengo la Msekwa ndani ya Viunga vya Bunge la Jamuhuri nya Muungano wa Tanzania Mjini Dodoma. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar...

Tuesday, 3 February 2015

Matayarisho ya ujio wa Rais wa shirikisho la Ujerumani

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akitembelea Bandari ya Malindi kuangalia matayarisho ya ujio wa  Rais wa shirikisho la Ujerumani Bwana Joachik Gauck. Kushoto ya Balozi Seif ni Mshauri wa Rais anaesimamia Uchumi, Uwekezaji na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Moh’d Ramia na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bandari Zanzibar Nd. Abdulla Juma...