Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi

Mwanafunzi Isra Hilal Mwadini akifuatiwa na mwenzake Tamima Abass Sheha wakipokea zawadi kutoka kwa mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wakati wa hafla ya Maulidi ya Jumuiya ya Chuo cha Samael Academy.Kulia ya Balozi Seif ni Rais wa Sameil Academy Sheikh Nassir Bin Said.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizindua rasmi Bara bara ya pili ya Amani hadi Mtoni baada ya kukamilika awamu ya mwisho ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya kutimia miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar

Akiwa na Balozi mdogo wa India nchini Tanzania wakiangalia maonyesho yaliofanya na Msanii kutoka India, Bi Navi Madhav hapo Ngome Kongwe

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Dk. Khalid S. Mohamed

akizungumza na Wadau wa Maendeleo wa Mfuko wa TASAF, walipofika Ofisini kwake kuzungumzia maendeleo ya Mfuko wa TASAF III,na kutembelea Mradi wa Mpango wa Kunusuru Kaya masikini (PSSN) katika Jimbo la Muyuni Wilaya ya Kusini Unguja katika Kijiji cha Muyuni B

Wazir wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar

Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakifurahia jambo wakati wa semina ya siku moja kuhusu matokeo makubwa na ya haraka katika kuleta mageuzi ya kiuchumi na kuleta maendeleo nchini iliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja na kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein

Tuesday, 28 October 2014

Balozi Seif Azungumza na Balozi Mteule wa Tanzania Nchini Rwanda Ofisini kwake Vuga.

Balozi Mteule wa Tanzania Nchini Rwanda Balozi Said Ali Siwa akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake Barala la Wawakilishi Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Balozi Mteule wa Tanzania Nchini Rwanda Bwana Said Ali Siwa aliyefika Ofini kwake Baraza...

Monday, 27 October 2014

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Balozi wa Ujerumani Nchini Tanzania

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Balozi wa Ujerumani Nchini Tanzania Bwana Egon Kochanke ofisini kwake vuga Mjini Zanzibar.  Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ. Balozi wa Ujerumani Nchini Tanzania Bwana Egon Kochanke akibadilisha mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif  katika...

Sunday, 26 October 2014

Balozi Seif Azindua Safari za Ndege ya FlyDubai kutoka Dubai hadi Zanzibar.

Wasanii wa DMCA, wakitowa burudani wakati wa Uzinduzi wa Safari ya Ndege ya Shirika la Ndege la Fly Dubai iliozinduliwa na Makamu wa Pili wa Rais Zanzibare Balozi Seif Ali Iddi iliofanyika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume. Ndege ya Shirika la FlyDubai ikiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume tayari kwa Uzinduzi wake...

Mahafali ya 21 ya Chuo cha Taaluma ya Sayansi ya Afya Zanzibar

. Mwenyekiti wa Baraza la Chuo cha Taaluma za Afya Zanzibar Dkt. Abdalla Ismail Kanduru akitoa tamko la kuwatunuku stashahada wahitimu wa Chuo hicho katika Mahafali ya 21 yalifanyika Mbweni.  Wahitimu wa Chuo cha Taaluma za Afya  Zanzibar wakila kiapo cha utiifu mbele ya mgeni rasmi Balozi Seif Ali Iddi katika mahafali ya 21 yaliyofanyika chuoni Mbweni. Makamu...

Sunday, 5 October 2014

Balozi Seif Akutana na Muwekezaji kutoka Marekani na Balozi wa Heshima wa Tanzania U S A.

 Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani ambae pia ni Murugenzi wa Kampuni ya Ms Shimoja Dr. Robert Shumake akimtambulisha Makamu wa Rais wa Kampuni ya maendeleo ya ujkenzi ya Detroit Nchini Marekani Bw. Andrew G. McLemore kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi walipokutana kwa mazungumzo VIP ya Uwanja wa ndege wa Pemba.Aliyepo kushoto...