Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi

Mwanafunzi Isra Hilal Mwadini akifuatiwa na mwenzake Tamima Abass Sheha wakipokea zawadi kutoka kwa mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wakati wa hafla ya Maulidi ya Jumuiya ya Chuo cha Samael Academy.Kulia ya Balozi Seif ni Rais wa Sameil Academy Sheikh Nassir Bin Said.

Tuesday, 23 September 2014

Dk Shein Ahudhuria Sherehe za Miaka 50 ya Elimu Bila Malipo Viwanja vya Amaan

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiwapungia mkono wanafunzi waliopita mbele ya jukwaa la viongozi katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar wakati wa sherehe za kilele cha miaka 50 ya Elimu bila Malipo zilizofanyika leo.  Wanafunzi wa Skuli ya wanawake ya Al- Ihsaan ya Magogoni Jitmai wakipita mbele ya mgeni...

Thursday, 18 September 2014

Dk.Shein awasili Zanzibar akitokea ziarani Nchini Comoro.

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mojhamed Shein, akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi alipowasili Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume akirejea ziarani Nchini Comoro alipokuwa katika ziara ya siku nne ya Kiserekani. kulia Mama Mwanamwema Shein, wakati walipowasili Zanzibar leo mchana.    Rais wa Zanzibar...

Wednesday, 17 September 2014

Balozi Seif aiagiza Wizara ya Miundu mbinu na Mawasiliano kuifanyia matengenezo makubwa barabara ya Donge Mtambile - Muwanda

 Baadhi ya Wananchi wa Vijiji vya  Donge Mchangani na Donge Muwanda wakiwa katika Mkutano wa kueleza kero zinazowakabili walizoziwasilisha kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi hapo katika Ukumbi wa Skuli ya Sekondaro ya Muwanda Wilaya ya Kaskazini “ B “.  Baadhi ya Wananchi wa Vijiji vya  Donge Mchangani na Donge Muwanda...

Tuesday, 16 September 2014

Dk Shein akutana na Rais wa Comoro Dr Ikililou Dhoinine kwa mazungumzo

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mawaziri mbali mbali  wakati alipowasili katika   Ikulu ya Comoro kwa mazungumzo na Rais wa Nchi hiyo Dr. Ikililou Dhoinine jana akiwa katika ziara ya kiserikali,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza...

Sunday, 14 September 2014

Wadau wa Maendeleo wa Mfuko wa TASAF Watembelea Wananchi walioko katika Mpango wa Kaya Masikini Kijiji cha Muyuni B Zanzibar.

Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Tanzania Ndg. Ladislaus Mwamanga, akitowa maelezo na kuufahamisha Ujumbe wa Wadau kutoka Benki ya Dunia wanaochangia  Mfuko wa Tasaf awamu ya Tatu, kuhusiana na Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini (PSSN) ulipofika kuonana na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Dk.Khalid  S. Mohamed, Ofisini kwake Vuga Zanzibasr. Wadau...