
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi
Mwanafunzi Isra Hilal Mwadini akifuatiwa na mwenzake Tamima Abass Sheha wakipokea zawadi kutoka kwa mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wakati wa hafla ya Maulidi ya Jumuiya ya Chuo cha Samael Academy.Kulia ya Balozi Seif ni Rais wa Sameil Academy Sheikh Nassir Bin Said.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Akiwa na Balozi mdogo wa India nchini Tanzania wakiangalia maonyesho yaliofanya na Msanii kutoka India, Bi Navi Madhav hapo Ngome Kongwe
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Dk. Khalid S. Mohamed
akizungumza na Wadau wa Maendeleo wa Mfuko wa TASAF, walipofika Ofisini kwake kuzungumzia maendeleo ya Mfuko wa TASAF III,na kutembelea Mradi wa Mpango wa Kunusuru Kaya masikini (PSSN) katika Jimbo la Muyuni Wilaya ya Kusini Unguja katika Kijiji cha Muyuni B
Wazir wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakifurahia jambo wakati wa semina ya siku moja kuhusu matokeo makubwa na ya haraka katika kuleta mageuzi ya kiuchumi na kuleta maendeleo nchini iliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja na kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
Tuesday, 23 September 2014
Dk Shein Ahudhuria Sherehe za Miaka 50 ya Elimu Bila Malipo Viwanja vya Amaan

Thursday, 18 September 2014
Dk.Shein awasili Zanzibar akitokea ziarani Nchini Comoro.
Wednesday, 17 September 2014
Balozi Seif aiagiza Wizara ya Miundu mbinu na Mawasiliano kuifanyia matengenezo makubwa barabara ya Donge Mtambile - Muwanda
