Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi

Mwanafunzi Isra Hilal Mwadini akifuatiwa na mwenzake Tamima Abass Sheha wakipokea zawadi kutoka kwa mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wakati wa hafla ya Maulidi ya Jumuiya ya Chuo cha Samael Academy.Kulia ya Balozi Seif ni Rais wa Sameil Academy Sheikh Nassir Bin Said.

Sunday, 16 November 2014

Balozi Seif Akizungumza na Ujumbe wa Makampuni ya Uwekezaji China. Wakati wa Ziara yake katika mjini wa Hainan China

Makamu wa Rais wa Kiwanda cha Dawa za Binaadamu cha Shuangcheng Bwana Jianlin Yuan akimpatia maelezo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif na Ujumbe wake wakati walipotembelea kiwanda hicho wakiwa katika ziara ya Kiserikali Katika Jimbo la Kisiwa cha Hainan. Ujumbe wa Zanzibar Ukiongozwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi...

Thursday, 13 November 2014

Makamu wa Rais Balozi Seif Aza ziara kutembelea Sekta ya Uchumi China

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif na ujumbe wake wakifuatana na mwenyeji wao Mkuu wa Kijiji cha Uwekezaji wa Mji wa Chengmai Bwana Yang Si Tao wakielekea ukumbi wa mkutano kwa mazungumzo. Kulia ya Balozi Seif ni Mkurugenzi Mtendaji wa ZIPA Nd. Salum Nassor Khamis, Mkurugenzi Mambo ya Nje Zanzibar Balozi Silima Kombo haji. Mkuu...

Wednesday, 5 November 2014

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Mhe:Mohamed Aboud Mohamed Ziarani Pemba

MKUU wa Skuli ya Alkhamis Cump Vitongoji inayomilikiwa na JWTZ Pemba,Meja Essau Lusila, akimfahamisha jambo Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Mhe:Mohamed Aboud Mohamed, wakati alipofanya ziara ya kutembelea majengo ya skuli hiyo, huko Vitongoji Wawi Chake Chake  Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Mhe:Mohamed Aboudn Mohamed,...

Tuesday, 4 November 2014

Mwanachama wa Diaspora Dk. Mehta afungua Hospitali Mahonda Nje ya Mji wa Zanzibar.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akisalimiana na Mwenyekiti wa Kiwanda cha Sukari Mahonda Bwa. Mahesh Patel, alipowasilin katika viwanja vya hospital hiyo mahonda kwa uaji ya uzinduzi wake.  Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akisalimiana naDk. Ameesh G Mehta, mmiliki wa hospital hiyo, alipowasilin katika...