Makamu
wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akitoa taarifa rasmi
ya Serikali kuhusu upotoshaji wa baadhi ya vifungu vya sheria unaendelea
kufanywa na baadhi ya viongozi wa Kisiasa juu ya uhalali wa kuendelea
kuwepo madarakani Rais wa Zanzibar. Taarifa hiyo aliitoa katika kituo cha matangazo ya Shirika la Habari Zanzibar {ZBC-TV } Karume House Mnazi Mmoja Mjini Zanzibar. Picha Hassan Issa – OMPR – ZNZ.Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi
Mwanafunzi Isra Hilal Mwadini akifuatiwa na mwenzake Tamima Abass Sheha wakipokea zawadi kutoka kwa mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wakati wa hafla ya Maulidi ya Jumuiya ya Chuo cha Samael Academy.Kulia ya Balozi Seif ni Rais wa Sameil Academy Sheikh Nassir Bin Said.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Akiwa na Balozi mdogo wa India nchini Tanzania wakiangalia maonyesho yaliofanya na Msanii kutoka India, Bi Navi Madhav hapo Ngome Kongwe
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Dk. Khalid S. Mohamed
akizungumza na Wadau wa Maendeleo wa Mfuko wa TASAF, walipofika Ofisini kwake kuzungumzia maendeleo ya Mfuko wa TASAF III,na kutembelea Mradi wa Mpango wa Kunusuru Kaya masikini (PSSN) katika Jimbo la Muyuni Wilaya ya Kusini Unguja katika Kijiji cha Muyuni B
Wazir wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakifurahia jambo wakati wa semina ya siku moja kuhusu matokeo makubwa na ya haraka katika kuleta mageuzi ya kiuchumi na kuleta maendeleo nchini iliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja na kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
Tuesday, 3 November 2015
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akitoa Taarifa ya Serikali akisisitiza Taarifa ya awali ya Serikali iliyotolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Makamu
wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akitoa taarifa rasmi
ya Serikali kuhusu upotoshaji wa baadhi ya vifungu vya sheria unaendelea
kufanywa na baadhi ya viongozi wa Kisiasa juu ya uhalali wa kuendelea
kuwepo madarakani Rais wa Zanzibar. Taarifa hiyo aliitoa katika kituo cha matangazo ya Shirika la Habari Zanzibar {ZBC-TV } Karume House Mnazi Mmoja Mjini Zanzibar. Picha Hassan Issa – OMPR – ZNZ.Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Viongozi wa Dini mbali mbali Nchini aliokutana nao Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa katika picha ya pamoja na Vongozi wa Dini mbali mbali Nchi mara baada ya kufanya mazungumzo nao Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar. Kushoto ya Balozi Seif ni Kiongozi wa Timu ya Waislamu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Kabi na Kulia ya Balozi ni Kiongozi wa Wakristo Askofu Augustino Mweleli Shao. Picha Hassan Issa – OMPR – ZNZ.
Monday, 10 August 2015
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa pamoja na Uongozi wa Wizara ya Elimu akitembelea majengo ya Kituo cha Mafunzo ya Amali
Picha na Hassan Issa – OMPR
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Wafanyabiashara pamoja na wataalamu wa ushauri wa Uhandisi kutoka Nchini Misri waliopo Tanzania
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na
Wafanyabiashara pamoja na wataalamu wa ushauri wa Uhandisi kutoka Nchini Misri
waliopo Tanzania kuangalia maeneo ambayo wanaweza kuwekeza miradi ya Kiuchumi. Picha na Hassan Issa –
OMPR
Meneja wa Biashara wa Kampuni ya
Kimataifa ya AIKAN ya Nchini Misri Bwana
Mohammed Alef Sherief wa kwanza
kutoka kushoto akimfahamisha Balozi Seif hayupo pichani fursa zinazotolewa na
Taasisi yake katika kuwajengea Vijana uwezo wa kufanya Biashara. Picha na Hassan Issa –
OMPR
Balozi Seif katika Picha ya pamoja na Wafanyabiashara na wataalamu
wa ushauri wa Uhandisi kutoka Nchini Misri mara baada ya kufanya mazungumzo nao
Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar. Kushoto ya
Balozi Seif ni Makamu Mwenyekiti wa
Taasisi ya Ushauri wa Uhandisi katika miundombinu ya ujenzi, usarifu wa Miji,
Majengo ya Kisasa pamoja na Vituo vya Kimataifa vya Biashara { ECG } ya Nchini
Misri Mhandisi Amri Alouba na Balozi wa
Tanzania Nchini Misri Balozi Mohammed Hamza. Kulia ya
Balozi Seif ni Mtaalamu wa Taasisi ya Ushauri wa Uhandisi katika miundombinu ya
ujenzi, usarifu wa Miji ya ECG Mhandisi Sherif Meurad pamoja na Meneja wa
Biashara wa Kampuni ya Kimataifa ya
AIKAN ya Nchini Misri Bwana Mohammed
Alef Sherief. Picha na Hassan Issa –
OMPR
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akizungumza na Balozi
Mdogo wa Oman aliyepo Zanzibar Bwana Ali Abdullah Ofisini kwake Mtaa wa Vuga
Mjini Zanzibar. Picha na Hassan Issa –
OMPR






















