
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi
Mwanafunzi Isra Hilal Mwadini akifuatiwa na mwenzake Tamima Abass Sheha wakipokea zawadi kutoka kwa mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wakati wa hafla ya Maulidi ya Jumuiya ya Chuo cha Samael Academy.Kulia ya Balozi Seif ni Rais wa Sameil Academy Sheikh Nassir Bin Said.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Akiwa na Balozi mdogo wa India nchini Tanzania wakiangalia maonyesho yaliofanya na Msanii kutoka India, Bi Navi Madhav hapo Ngome Kongwe
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Dk. Khalid S. Mohamed
akizungumza na Wadau wa Maendeleo wa Mfuko wa TASAF, walipofika Ofisini kwake kuzungumzia maendeleo ya Mfuko wa TASAF III,na kutembelea Mradi wa Mpango wa Kunusuru Kaya masikini (PSSN) katika Jimbo la Muyuni Wilaya ya Kusini Unguja katika Kijiji cha Muyuni B
Wazir wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakifurahia jambo wakati wa semina ya siku moja kuhusu matokeo makubwa na ya haraka katika kuleta mageuzi ya kiuchumi na kuleta maendeleo nchini iliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja na kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
Tuesday, 30 December 2014
Balozi Seif awatakia kheri ya mwaka mpya wazee hapa Nchini

Monday, 29 December 2014
Balozi Seif akagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya Konde - Wete
Balozi Seif: CCM bado madhubuti na inazidi kuimarika

Balozi Seif aendelea na ziara kisiwani Pemba
Sunday, 21 December 2014
Balozi Seif amwakilisha Dk Shein alipofungua tamasha la sita la Kiislamu

Viettel Global Investment JSC kutoka Taiwan yataka kutoa huduma vijijini

Friday, 19 December 2014
Mhe. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe. Mohammed Aboud akizindua Utekelezaji wa Miradi ya kutoa Ajira ya muda unasimamiwa na TASAF awamu ya III wa mpango wa Kunusuru Kaya Masikni katika Kijiji cha Kijini Matemwe Wilaya ya Kaskazini A Unguja.
Thursday, 18 December 2014
Kamati ya Sensa Taifa yakutana
