Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi

Mwanafunzi Isra Hilal Mwadini akifuatiwa na mwenzake Tamima Abass Sheha wakipokea zawadi kutoka kwa mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wakati wa hafla ya Maulidi ya Jumuiya ya Chuo cha Samael Academy.Kulia ya Balozi Seif ni Rais wa Sameil Academy Sheikh Nassir Bin Said.

Tuesday, 30 December 2014

Balozi Seif awatakia kheri ya mwaka mpya wazee hapa Nchini

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Sheikh Mkuu wa Msikiti wa Asili wa Ijumaa Micheweni Mjini  Sheikh Haji Khatib Haji.  Balozi Seif akitoa Mkono wa Pole kwa Watoto na Wajukuu wa Muasisi wa Afro Shirazy Party Marehemu Bibi Ashura Abeid hapo Nyumbani kwa Tibirinzi Chake chake Pemba.  Balozi Seif akibadilishana...

Monday, 29 December 2014

Balozi Seif akagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya Konde - Wete

GARI ya Kampuni ya Mecco ikimwaga lami katika mashine maalumu ya kuchawanyia lami hiyo, katika barabara ya Konde-Wete kama wanavyoonekana wafanyakazi wa kampuni hiyo wakiwa kazini. GARI maalumu ya kutandazia lami ya kampuni ya Mecco, ikiwa kkazini katika barabara ya Konde-Wete, kama inavyoonekana kazi hiyo ikiwa inaendelea kwa kasili, ili kukamilika kwa barabara...

Balozi Seif: CCM bado madhubuti na inazidi kuimarika

 Mlezi wa CCM Mkoa wa Magharibi Balozi Seif akipandisha Bendera ya CCM Mbele ya Tawi la CCM Mombasa kwa Mchina kabla ya kuweka jiwe la msingi la Twi hilo   Balozi Seif  ambae  pia  ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM akiweka jiwe la msingi la Tawi la CCM Mombasa kwa Mchina.  Mwenyekiti wa Kamati ya Ujenzi...

Balozi Seif aendelea na ziara kisiwani Pemba

  KATIBU mkuu Wizara ya Kilimo na Mali asili Zanzibar, Mhe:Afani Othman Maalim akimfahamisha jambo Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, wakati alipotembelea shamba la mboga mboga la kikundi cha Wengi Wape Uwandani Vitongoji Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)   MAKAMO wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif...

Sunday, 21 December 2014

Balozi Seif amwakilisha Dk Shein alipofungua tamasha la sita la Kiislamu

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif kwa niaba ya Rais wa Zanzibar Dr. Ali Mohamed Shein akilifungua Tamasha la Sita la Kiislamu Zanzibar  hapo jumba la Wananchi Forodhani Mjini Zanzibar.  Balozi Seif akimkabidhi cheti maalum Balozi wa Palestina Nchini Tanzania Bwana Nassib Abu Jesh kwa ushiriki wa Ubalozi huo kwenye kuunga mkono...

Viettel Global Investment JSC kutoka Taiwan yataka kutoa huduma vijijini

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Ofisa wa Kampuni ya Mitandao ta Teknolojia ya Mawasiliano ya Vietnam Tawi la Dar es salaam Bibi Le Duy Duong Ofisini kwake Vuga.Kulia ya Balozi Seif ni Waziri wa Mawasiliano, Sayansi naTeknolojia ya SMT Profesa Makame Mnyaa Mbarawa na Mkurugenzi Mkuu wa Viettel Tanzania Bwana Nguyen Thanh...

Friday, 19 December 2014

Mhe. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe. Mohammed Aboud akizindua Utekelezaji wa Miradi ya kutoa Ajira ya muda unasimamiwa na TASAF awamu ya III wa mpango wa Kunusuru Kaya Masikni katika Kijiji cha Kijini Matemwe Wilaya ya Kaskazini A Unguja.

 Mhe. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe. Moh'd Aboud Moh'd akipanda mti wa Mkwaju ikiwa ni ishara na kumbukumbu ya uzinduzi wa  Miradi ya Ajira kwa muda kwa kaya masikini inayosimamia na TASAF awamu ya III katika kijijini cha Kijini Matemwe. Picha na  Maryam Abdi (OMPR).   Mratibu  wa TASAF  Unguja Bbi Fatma Moh'd...

Thursday, 18 December 2014

Kamati ya Sensa Taifa yakutana

Kikao cha 14 cha Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 kilikutana chini ya Mwenyekiti wake Waziri Mkuu wa SMT Mh. Mizengo Pinda akiwa sambamba na Mwenyekiti Mwenza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi. Kikao hicho kilichoshirikisha wajumbe wa pande zote mbili za Muungano wakiwemo mawaziri na watendaji waandamizi wa taasisi...