
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi
Mwanafunzi Isra Hilal Mwadini akifuatiwa na mwenzake Tamima Abass Sheha wakipokea zawadi kutoka kwa mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wakati wa hafla ya Maulidi ya Jumuiya ya Chuo cha Samael Academy.Kulia ya Balozi Seif ni Rais wa Sameil Academy Sheikh Nassir Bin Said.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Akiwa na Balozi mdogo wa India nchini Tanzania wakiangalia maonyesho yaliofanya na Msanii kutoka India, Bi Navi Madhav hapo Ngome Kongwe
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Dk. Khalid S. Mohamed
akizungumza na Wadau wa Maendeleo wa Mfuko wa TASAF, walipofika Ofisini kwake kuzungumzia maendeleo ya Mfuko wa TASAF III,na kutembelea Mradi wa Mpango wa Kunusuru Kaya masikini (PSSN) katika Jimbo la Muyuni Wilaya ya Kusini Unguja katika Kijiji cha Muyuni B
Wazir wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakifurahia jambo wakati wa semina ya siku moja kuhusu matokeo makubwa na ya haraka katika kuleta mageuzi ya kiuchumi na kuleta maendeleo nchini iliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja na kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
Sunday, 31 May 2015
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisema wakati wa hafla maalum ya chakula cha usiku alichowaandalia watendaji wa Taasisi zilizo chini ya Ofisi yake kufuatia kukamilisha na hatimae kupita kwa Bajeti ya Wizara.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Ali Mohammed Shein alisema Mabalozi wanayoiwakilisha Tanzania katika Mataifa tofauti Duniani wanapaswa kuitekeleza vilivyo Sera ya Mambo ya Nje.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiufunga Mkutano wa Nne wa siku Tatu wa Mabalozi wa Tanzania

Wednesday, 20 May 2015
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikagua harakati za ujenzi wa Jengo jipya la Abiria wa usafiri wa Anga katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume ulipo Kiembe Samaki Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar .

Tuesday, 19 May 2015
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akieleza wakati alipofanya ziara fupi ya kukagua Nyumba zilizoathirika na Mvua Kubwa

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisema yapo matumaini makubwa ya kukua kwa Uchumi wa Zanzibar kukua ambako kutategemea pia Uchaguzi Mkuu wa Mwezi wa Oktoba mwaka huu kama utakwenda kwa amani na utulivu.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Sherehe na Maadhimisho ya Kitaifa alipata fursa ya kukagua matayarisho ya ujio wa Rais wa Jamuhuri ya Msumbiji Bwana Philipe Jacinto Nyusi

Wednesday, 13 May 2015
Mwakilishi wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania { RED CROSS } Bwana Shaaban Ali Iddi akikabidhi msaada wa Viatu Pair 90 kwa Katibu wa Kamati ya Taifa ya Kukabiliana na Maafa Zanzibar Dr. Khalid Salum Moh’d
