Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi

Mwanafunzi Isra Hilal Mwadini akifuatiwa na mwenzake Tamima Abass Sheha wakipokea zawadi kutoka kwa mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wakati wa hafla ya Maulidi ya Jumuiya ya Chuo cha Samael Academy.Kulia ya Balozi Seif ni Rais wa Sameil Academy Sheikh Nassir Bin Said.

Sunday, 31 May 2015

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisema wakati wa hafla maalum ya chakula cha usiku alichowaandalia watendaji wa Taasisi zilizo chini ya Ofisi yake kufuatia kukamilisha na hatimae kupita kwa Bajeti ya Wizara.

Kikundi cha Muziki wa Morden Taarab cha Big Staa chenye mastakimu yake Ofisi ya Mkoa Mjini Amani kikitoa burdani kwenye tafrija ya kuwapongeza Viongozi na watendaji wa Taasisi zilizochini ya Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar baada ya kupita kwa Bajeti ya Wizara hiyo pamoja na kuagana kwa kukaribia kukamilika kwa kipindi cha miaka mitano. Picha Hassan Issa – OMPR...

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Ali Mohammed Shein alisema Mabalozi wanayoiwakilisha Tanzania katika Mataifa tofauti Duniani wanapaswa kuitekeleza vilivyo Sera ya Mambo ya Nje.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif anayetembea kati kati ya zulia jekundu akisindikizwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernard Membe kulia yake na Naibu waziri wa Wizara hiyo Mh. Mahadhi Juma kushoto yake wakiingia ndani ya Hoteli ya Ramada Dar es salaam kwenye ufungaji wa Mkutano wa  Nne wa Mabalozi wa Tanzania nchi mbali...

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiufunga Mkutano wa Nne wa siku Tatu wa Mabalozi wa Tanzania

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiufunga Mkutano wa Nne wa siku Tatu wa Mabalozi wa Tanzania kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyejkiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Ali Mohammed Shein  uliokuwa ukifanyika katika Hoteli ya Ramada Mjini Dar es salaam.  Picha Hassan Issa – OMPR – ZNZ.  Press Release:- Makamu...

Wednesday, 20 May 2015

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikagua harakati za ujenzi wa Jengo jipya la Abiria wa usafiri wa Anga katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume ulipo Kiembe Samaki Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar .

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wa Tatu kutoka kushoto akikagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Abiria { Terminal 11 } katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Zanzibar wa Abeid Amani Karume akiwa pamoja na uongozi wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano  Zanzibar. Picha na Hassan Issa  OMPR – ZNZ. Msimamizi wa ujenzi wa jengo la Abiria...

Tuesday, 19 May 2015

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akieleza wakati alipofanya ziara fupi ya kukagua Nyumba zilizoathirika na Mvua Kubwa

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akifanya ziara ya kukagua Nyumba zilizoathirika na Mvua Mkubwa ya Hivi Karibuni ambazo zimeanguka baadhi ya Kuta zake. Picha na Hassan Issa  OPMR – ZNZ Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja Haji Juma Haji aliyevaa shati ya Drafti na Kofia kati kati akimfahamisha Balozi Seif Kulia yake kadhia iliyowapata baadhi...

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisema yapo matumaini makubwa ya kukua kwa Uchumi wa Zanzibar kukua ambako kutategemea pia Uchaguzi Mkuu wa Mwezi wa Oktoba mwaka huu kama utakwenda kwa amani na utulivu.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiifunga Semina ya Simu Nne  ya Wajumbe wa Bawaza la Wawakilishi pamoja na watendaji Wakuu wa Serikali juu ya uchambuzi wa Bajeti na Masuala ya Uchumi iliyokuwa ikifanyika katika ukumbi wa Z. Ocean Hoteli Chuwini Wilaya ya Magharibi “A”.  Picha na Issa Hassan  - OMPR – ZNZ. Baadhi ya Wajumbne wa...

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Sherehe na Maadhimisho ya Kitaifa alipata fursa ya kukagua matayarisho ya ujio wa Rais wa Jamuhuri ya Msumbiji Bwana Philipe Jacinto Nyusi

 Mjumbe wa Kamati ya Mapokezi ya Rais wa Msumbiji Maalim Vuai Khamis kutoka Taasisi ya Elimu akikagua Gwaride la Jeshi la Wananchi wa Tanzania {JWTZ } ikiwa ni maandalizi ya mwisho ya ujio wa Kiongozi huyo wa Jamhuri ya Msumbiji Bwana Philipe Jacinto Nyusi anayetarajiwa kufanya ziara ya siku Moja Zanzibar. Picha na Hassan Issa  OMPR – ZNZ. Kamanda Mkuu wa Brigedia...

Wednesday, 13 May 2015

Mwakilishi wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania { RED CROSS } Bwana Shaaban Ali Iddi akikabidhi msaada wa Viatu Pair 90 kwa Katibu wa Kamati ya Taifa ya Kukabiliana na Maafa Zanzibar Dr. Khalid Salum Moh’d

Mwakilishi wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania { RED CROSS } Bwana Shaaban Ali Iddi akikabidhi msaada wa Viatu Pair 90 kwa Katibu wa Kamati ya Taifa ya Kukabiliana na Maafa Zanzibar Dr. Khalid Salum Moh’d kwa ajili ya watoto wa familia zilizopata maafa ambao wapo Kambini  Skuli ya mwanakwerekwe “C” . Katibu wa Kamati ya Taifa ya Kukabiliana na Maafa...