Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi

Mwanafunzi Isra Hilal Mwadini akifuatiwa na mwenzake Tamima Abass Sheha wakipokea zawadi kutoka kwa mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wakati wa hafla ya Maulidi ya Jumuiya ya Chuo cha Samael Academy.Kulia ya Balozi Seif ni Rais wa Sameil Academy Sheikh Nassir Bin Said.

Thursday, 31 July 2014

Sala ya Eid ul Fitr viwanja vya Maisara

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (wa nne kulia) akijumuika na Waislamu mbali mbali na Viongozi katika Swala ya Eid el Fitri iliyoswaliwa kitaifa katika viwanja vya Maisara Suleiman Mjini Zanzibar  leo asubuhi katika kusherehekeka mfunguo wa Mwezi Mtukufu wa  Ramadhan.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]  Baadhi...

Wednesday, 30 July 2014

Mwenge wa Uhuru wawasili Zanzibar

 Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam Bi. Getrudi Mpaka akitoa salam za Mkoa huo kabla ya kuukabidhi Mwenge wa Uhuru Mkoa wa Mjini Magharibi leo july 30.  Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Said Meck Sadiki akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Abdallah Mwinyi Khamis, makabidhiano hayo yamefanyika uwanja wa ndege mkongwe...

Baraza la eidul Fitr Salama Hall Bwawani

Baadhi ya Wananchi na Waislamu wasikiliza hotuba iliyotolewa leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein katika ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja,katika kusherehekea Sikukuu yaEid el Fitri, [Picha na Ramadhan Othman Ikulu.] Wananchi mbali mbali wakike na wakiume wakiwa katika Ukumbi wa Salama...

Sunday, 27 July 2014

Balozi Seif awatembelea Wazee wasiojiweza waliopo katika nyumba za Serikali Welezo na Sebleni

 Baadhi ya Wazee wa nyumba za Serikali za Welezo wakifutilia maelezo ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seifhayupo pichani wakati  alipowatembelea kwenye makazi yao.  Balozi Seif akigawa zawadi kwa mmoja wa wazee wa Welezo alipowatembelea na kuwafariji wakiwa ndani ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.  Baadhi ya Wazee wa nyumba...

Rais Kikwete afutarisha wananchi wa mikoa Mitatu ya Unguja

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi  akiwaongoza waumini wa dini ya Kiislamu pamoja na wananchi wa mikoa Mitatu ya Unguja katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete na kufanyika katika Ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Zanzibar.  Viongozi na wananchi wa Mikoa Mitatu...

Mazrui afungua maonyesho ya Biashara viwanja vya Maisara

 Mwenyekiti wa Mamlaka ya kukuza Biashara Tanzania (TANTRADE) Bi. Thabetha Mwambenja akiteta jambo na Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko wa Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui katika ufunguzi wa maonyesho ya Biashara ya Edi el Fitri yanayofanyika Uwanja wa Maisara Mjini Zanzibar.  Sehemu ya waalikwa waliofika katika maonyesho ya Biashara ya Edi El Fitri...

Friday, 25 July 2014

Waziri Aboud atembelea maduka Chakechake

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe:Mohammed Aboud Mohammed, akiangalia kiatu cha Kike wakati alipotembelea maduka mbali mbali na kujuwa bei za bidhaa, ndani ya mji wa chake chake katika kuelekea skukuu ya Edd el fitr.   WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe:Mohammed Aboud Mohammed, akiangalia mtandio wakati...

Thursday, 24 July 2014

Dk Shein azindua mradi wa SAEMAUL UDONG Cheju

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.ALi Mohamed Shein akipata maelezo kutoka Naibu katibu Mkuu Wizara ya Kilimo na Maliasili Nd,Juma Ali Juma wakati alipotembelea kituo cha kukausha Embe Dodo katika Kijiji cha Cheju kibonde maji leo  kilichojengwa na Shirika la misaada la Koika nchini Korea kupitia    Mradi wa  SAEMAUL...