Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi
Mwanafunzi Isra Hilal Mwadini akifuatiwa na mwenzake Tamima Abass Sheha wakipokea zawadi kutoka kwa mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wakati wa hafla ya Maulidi ya Jumuiya ya Chuo cha Samael Academy.Kulia ya Balozi Seif ni Rais wa Sameil Academy Sheikh Nassir Bin Said.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Akiwa na Balozi mdogo wa India nchini Tanzania wakiangalia maonyesho yaliofanya na Msanii kutoka India, Bi Navi Madhav hapo Ngome Kongwe
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Dk. Khalid S. Mohamed
akizungumza na Wadau wa Maendeleo wa Mfuko wa TASAF, walipofika Ofisini kwake kuzungumzia maendeleo ya Mfuko wa TASAF III,na kutembelea Mradi wa Mpango wa Kunusuru Kaya masikini (PSSN) katika Jimbo la Muyuni Wilaya ya Kusini Unguja katika Kijiji cha Muyuni B
Wazir wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakifurahia jambo wakati wa semina ya siku moja kuhusu matokeo makubwa na ya haraka katika kuleta mageuzi ya kiuchumi na kuleta maendeleo nchini iliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja na kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
Thursday, 31 July 2014
Sala ya Eid ul Fitr viwanja vya Maisara
Wednesday, 30 July 2014
Mwenge wa Uhuru wawasili Zanzibar
Baraza la eidul Fitr Salama Hall Bwawani

Sunday, 27 July 2014
Balozi Seif awatembelea Wazee wasiojiweza waliopo katika nyumba za Serikali Welezo na Sebleni

Rais Kikwete afutarisha wananchi wa mikoa Mitatu ya Unguja

Mazrui afungua maonyesho ya Biashara viwanja vya Maisara
Friday, 25 July 2014
Waziri Aboud atembelea maduka Chakechake
Thursday, 24 July 2014
Dk Shein azindua mradi wa SAEMAUL UDONG Cheju
