MRATIBU wa TASAF Pemba Mussa Said, akiwafafanulia jambo wananachi wa shehia ya Ndagoni wilaya ya Chakechake, kabla ya wananchi hao ambao ndio maskini kugawiwa fedha taslimu shilingi 9,405,563 milioni kwa ajili ya kujiendeleza wao na watoto wao kielimu na afya (picha na Haji Nassor, Pemba)
Sunday, 20 July 2014
Home »
» TASAF Wawawezesha wananchi wa Ndagoni
TASAF Wawawezesha wananchi wa Ndagoni
By Unknown22:51
Related Posts:
Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi akikabidhi vikalio 45 kwa ajili ya Skuli hiyo Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Upenja Mwalimu Jaffar Ali Haji vikalio 45 kwa ajili ya Skuli hiyo kutekeleza ahadi aliyotoa kwa skuli hiyo. Nyumba ya Mwalimu Jaffar ni … Read More
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akitia saini Mkataba wa uendelezaji wa Ujenzi wa Jengo la Upasuaji katika Hospitali ya Micheweni Afisa Uendeshaji Tiba Kisiwani Pemba Bwana Ali Moh’d Mbarawa mwenye karatasi mkononi akimpatia maelezo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliyevaa suti ya buluu juu ya Ujenzi wa Jengo la Upasu… Read More
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiyashauri Makampuni na Taasisi za uwekezaji kutoka Nchini India kuwekeza miradi yao katika Visiwa vya Unguja na Pemba Balozi Mdogo Mpya wa India Hapa Zanzibar Bwana Satendar Kumar akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar. Picha Hassan Issa– OMPR – ZNZ. &nb… Read More
Makamu wa Pili wa Rais Mheshimiwa Balozi Seif Ali Iddi akizindua Ushirika wa Jitihada njema wa Bandarini Malindi Mjini Zanzibar. Wanaushirika wa Jitihada Njema wa Bandarini Zanzibar wakiserebuka na ngoma ya Utamaduni ya Kibati wakati wa uzinduzi wa Ushirika wao katika ukumbi wa Salama Hoteli ya Bwawani Mjini Zanzibar. Picha Hassan Issa - O… Read More
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizindua rasmi Kikundi cha Mazoezi ya Viungo cha Upendo chenye Maskani yake katika Kijiji cha Uzini ndani ya Wilaya ya Kati. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikata utepe kuashiria kuyaruhusu maandamano ya wana mazoezi ya viungo wa vikundi mbali mbali walioshiriki uzinduzi wa IKikundi cha Upendo cha Uzini kuingia ndani ya… Read More