
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi
Mwanafunzi Isra Hilal Mwadini akifuatiwa na mwenzake Tamima Abass Sheha wakipokea zawadi kutoka kwa mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wakati wa hafla ya Maulidi ya Jumuiya ya Chuo cha Samael Academy.Kulia ya Balozi Seif ni Rais wa Sameil Academy Sheikh Nassir Bin Said.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Akiwa na Balozi mdogo wa India nchini Tanzania wakiangalia maonyesho yaliofanya na Msanii kutoka India, Bi Navi Madhav hapo Ngome Kongwe
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Dk. Khalid S. Mohamed
akizungumza na Wadau wa Maendeleo wa Mfuko wa TASAF, walipofika Ofisini kwake kuzungumzia maendeleo ya Mfuko wa TASAF III,na kutembelea Mradi wa Mpango wa Kunusuru Kaya masikini (PSSN) katika Jimbo la Muyuni Wilaya ya Kusini Unguja katika Kijiji cha Muyuni B
Wazir wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakifurahia jambo wakati wa semina ya siku moja kuhusu matokeo makubwa na ya haraka katika kuleta mageuzi ya kiuchumi na kuleta maendeleo nchini iliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja na kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
Tuesday, 28 July 2015
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akilifungua rasmi Jengo Jipya la Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia Tanzania { COSTECH } Ofisi ya Zanzibar

Monday, 27 July 2015
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiweka jiwe la msingi la Bara bara ya soko la mboga mboga Mtaa wa Mombasa hadi Skuli ya Sekondari ya Jang’ombe

Sunday, 26 July 2015
Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi akikabidhi msaada wa Kompyuta na Printa yake katika Skuli ya Sekondari ya Kitope, Madrasat Jamiiya Islamic ya Kijiji cha Mahonda na Skuli ya Sekondari ya Fujoni

Friday, 24 July 2015
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif AlI Iddi kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Ali Mohammed Shein akizinduzi Tamasha la Utamaduni wa Mzanzibari

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akipokea msaada wa Kampyuta kutoka katika Kampuni ya Kimataifa ya Mtandao wa Mawasiliano ya Kisasa ya ZTE

Balozi Seif Ali Iddi akifanya ziara katika Kijiji cha Kinduni Wilaya ya Kaskazini “B” kukagua Kisima cha maji safi na salama kilichochimbwa na Mamlaka ya Maji Zanzibar {ZAWA }

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akilizindua Tamasha la 18 la Kimataifa la Filam la Nchi za Jahazi Zanzibar { ZIFF }

Thursday, 23 July 2015
Balozi Seif Ali Iddi akitoa nasaha katika hafla fupi ya Kukabidhi Boti kwa Vijana Sita wa Kijiji cha Fujoni Wilaya ya Kaskazini “ B “ walioamua kuacha matumizi ya Dawa za kulevya

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiipongeza Serikali ya Cuba kwa juhudi inayoendelea kuchukuwa katika kuunga mkono harakati za maendeleo ya Kijamii ya Zanzibar hasa katika Sekta ya huduma za Afya.
