Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi

Mwanafunzi Isra Hilal Mwadini akifuatiwa na mwenzake Tamima Abass Sheha wakipokea zawadi kutoka kwa mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wakati wa hafla ya Maulidi ya Jumuiya ya Chuo cha Samael Academy.Kulia ya Balozi Seif ni Rais wa Sameil Academy Sheikh Nassir Bin Said.

Tuesday, 28 July 2015

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akilifungua rasmi Jengo Jipya la Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia Tanzania { COSTECH } Ofisi ya Zanzibar

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akilifungua rasmi Jengo Jipya la Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia Tanzania{ COSTECH } Ofisi ya Zanzibar liliopo ndani ya majengo ya zamani ya ilichokuwa kiwanda cha Sigara Maruhubi Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar. Picha na Hassan Issa – OMPR Balozi Seif wa pili kutoka Kushoto akipata maelezo kutoka kwa Wataalamu ...

Monday, 27 July 2015

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiweka jiwe la msingi la Bara bara ya soko la mboga mboga Mtaa wa Mombasa hadi Skuli ya Sekondari ya Jang’ombe

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiweka jiwe la msingi la Bara bara ya ndani ya Kilomita 3.5  iliyoanzia soko la mboga mboga Mtaa wa Mombasa hadi Skuli ya Sekondari ya Jang’ombe inayojengwa na Uongozi wa Jimbo la Mpendae. Nyuma ya Balozi Seif ni Naibu Waziri wa Mindombinu na Mawasiliano Zanzibar Mh. Issa Haji Gavu na Kushoto ya Balozi Seif...

Sunday, 26 July 2015

Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi akikabidhi msaada wa Kompyuta na Printa yake katika Skuli ya Sekondari ya Kitope, Madrasat Jamiiya Islamic ya Kijiji cha Mahonda na Skuli ya Sekondari ya Fujoni

Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi msaada wa Kompyuta Tatu na Printa yake Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Sekondari ya Kitope Mwalimu Suleiman Juma Makame kwa ajili ya matumizi ya skuli hiyo. Picha na Hassan Issa – OMPR Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi Msaada wa Kompyuta Moja Katibu wa Madrasat...

Friday, 24 July 2015

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif AlI Iddi kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Ali Mohammed Shein akizinduzi Tamasha la Utamaduni wa Mzanzibari

Vazi lenye asili ya watu wa Kitumbatu walilokuwa wakilitumia wakati wakielekea mashambani huku mwana Mama anatembea akisuka ukili kuashiria ufundi wa utamaduni wa asili. Picha na Hassan Issa – OMPR Muimbaji mahiri wa Visiwa vya Comoro al anisa Shamsia Sagaf akitumbuiza kwenye uzinduzi wa Tamasha la Utamaduni wa Mzanzibari hapo Bwawani Mjini Zanzibar. Picha na Hassan...

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akipokea msaada wa Kampyuta kutoka katika Kampuni ya Kimataifa ya Mtandao wa Mawasiliano ya Kisasa ya ZTE

Ofisa wa Tawi la Kampuni ya Kimataifa ya Mtandao wa Mawasiliano ya Kisasa ya ZTE hapa Zanzibar yenye Makao Makuu yake Nchini  Jamuhuri ya Watu wa China Bibi Coco Wang akimpatia maelezo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kabla ya kumkabidhi msaada wa Kompyuta 10 kwa ajili ya wanafunzi wa Skuli zilizomo ndani ya Jimbo lake. Kulia ya Bibi Coco Wang...

Balozi Seif Ali Iddi akifanya ziara katika Kijiji cha Kinduni Wilaya ya Kaskazini “B” kukagua Kisima cha maji safi na salama kilichochimbwa na Mamlaka ya Maji Zanzibar {ZAWA }

Mkurugenzi Uzalishaji Maji wa Mamlaka ya Maji Zanzibar {ZAWA } Mhandisi Moh’d Elyas aliyenyanyua mkono akimpatia maelezo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif kazi zilizobakia katika kukamilisha Miundombinu ya ujenzi wa kisima cha Maji safi katika Kijiji cha Kinduni Wilaya ya Kaskazini “B”. Picha na Hassan Issa – OMPR Balozi Seif akizungumza na Wananchi na wana...

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akilizindua Tamasha la 18 la Kimataifa la Filam la Nchi za Jahazi Zanzibar { ZIFF }

Wasanii wa Kikundi cha Tausi Kilicho chini ya Gwiji la Sanaa Nchini Bibi Maryam Hamdan kikitoa burdani ya Maulidi ya Homu kwenye uzinduzi wa Tamasha la 18 la Filam la Nchi za Jahazi  Zanzibar { ZIFF } hapo Hoteli ya Double Tree By Hilton Shangani Mjini Zanzibar. Picha na Hassan Issa – OMPR Wasanii wa Kikundi cha Tausi Kilicho chini ya Gwiji la Sanaa Nchini Bibi...

Thursday, 23 July 2015

Balozi Seif Ali Iddi akitoa nasaha katika hafla fupi ya Kukabidhi Boti kwa Vijana Sita wa Kijiji cha Fujoni Wilaya ya Kaskazini “ B “ walioamua kuacha matumizi ya Dawa za kulevya

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkamilishia Fedha zake Fundi Omar Makame Juma wa Boti aliyochonga kwa ajili ya Vijana Sita wa Kijiji cha  Fujoni walioamua kuacha matumizi ya Dawa za kulevya. Picha na Hassan Issa – OMPR Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar aliyevaa shati rangi ya Kijani akimkabidhi Boti na Mshine yake Kiongozi wa Vijana...

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiipongeza Serikali ya Cuba kwa juhudi inayoendelea kuchukuwa katika kuunga mkono harakati za maendeleo ya Kijamii ya Zanzibar hasa katika Sekta ya huduma za Afya.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Madaktari wa Cuba wanaomaliza muda wao wa utumishi hapa Zanzibar ambao aliwaandali chakula cha Jioni nyumbani kwake Mazizini nje kidogo ya Mji wa Zanzibar. Picha Hassan Issa – OMPR – ZNZ. Balozi Seif akisalimiana na Mkuu wa Mafunzo wa  Madaktari Wazalendo wa Zanzibar  waliopata taaluma...