Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi

Mwanafunzi Isra Hilal Mwadini akifuatiwa na mwenzake Tamima Abass Sheha wakipokea zawadi kutoka kwa mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wakati wa hafla ya Maulidi ya Jumuiya ya Chuo cha Samael Academy.Kulia ya Balozi Seif ni Rais wa Sameil Academy Sheikh Nassir Bin Said.

Sunday, 18 January 2015

Balozi Seif Ahudhuria Maulidi ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW)

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwahutubia na kutoa nasaha zake kwa Waumini wa Dini ya Kiislam waliohudhuria  maulid ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad yalioandaliwa na Taasisi ya Samael Academy yaliofanyika katika Msikiti wa Gombani Chakechake Kisiwani Pemba.  Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwahutubia...

Friday, 16 January 2015

Balozi Seif Achangia saruji mifuko 200 kwa Ujenzi wa Skuli ya Sekondari ya Donge Unguja.

Balozi Seif akimkabidhi mifuko ya saruji 200 Mlezi wa Jumuiya ya Maendeleo Donge Nd. Moh’d Abdulla Khamis akitekeleza ahadi yake hapo skuli ya Sekondari Donge Mkoa wa Kaskazini Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akizungumza na Uongozi wa Jumuiya ya Maendeleo Donge pamoja na Wananchi wa Kijiji hicho kwenye hafla kukabidhi mifuko 200 ya...

Thursday, 15 January 2015

Balozi Seif Akabidhi Mabomba ya Maji Safi kwa Wananchi wa Kijiji cha Kirombero Unguja

Mbunge wa Jimbo la Kitope ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi Mabomba ya kusambazia maji safi Diwani ya Wadi ya Upenja Bibi Asha Abdulla Mussa kwa ya Kijiji cha kilombero Mkoa wa Kaskazini Unguja.Kati kati yao ni Mke wa Balozi Seif Mama Asha Suleiman Iddi. Mabomba ya kusambazia maji safi katika Kijiji cha Kilombero...

Tuesday, 13 January 2015

PBZ Yakabidhi Fulana kwa Ajili ya Sherehe za Miaka 51 ya Mapinduzi

Kaimu Mkurugenzi Uendeshaji na Utumishi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Ndg, Haji Ame, akitowa shukrani kwa Uongozi wa Benki ya Watu wa Zanzibar kwa kukabidhi Fulana mia tano kwa ajili ya sherehe za miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar, makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi hiyo Vuga Zanzibar. Kaimu Mkurugenzi Masoko wa Benki ya Watu wa Zanzibar...

Monday, 12 January 2015

Mwenyekiti wa Kamati ya Sherehe na Maadhimisho ya Kitaifa ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiambatana na baadhi ya Viongozi wa Kamati 10 zilizopewa jukumu la kusimamia maandalizi ya sherehe za Miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

 Makamanda  shupavu Wanawake wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania  { JWTZ } wakionyesha umahiri wao katika kulichapa gwaride wakijiandaa na Kilele cha maadhimisho ya kutimia miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar hapo Uwanja wa Amani Mjini Zanzibar.  Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ.  Mwenyekiti wa Kamati ya Sherehe na Maadhimisho ya Kitaifa Balozi...

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akifungua tamasha la Pili la Biashara la mwaka 2015 la maadhimisho ya kutimia miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar linalofanyika katika uwanja wa michezo wa Maisara Mjini Zanzibar.

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akilifungua Tamasha la Pili la Biashara Zanzibar linalofanyika katika uwanja wa michezo wa Maisara Mjini Zanzibar. Kulia ya Balozi Seif ni Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko Mh. Nasso Ahmed Mazrui na kushoto yake ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maendeleo ya Baisra Tanzania { Tantrade } Bibi Jackline na Naibu...

Kilele cha miaka 51 ya Mapinduzi uwanja wa Amaan

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, akisalimiana na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Ali Mohammed Shein, wakati wa sherehe za miaka 51 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar kwenye uwanja wa Aman, leo Jumatatu Januari 12, 2015 JK na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Davis Mwamunyange JK, akisabahiananna Rais Mstaafu...