Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi

Mwanafunzi Isra Hilal Mwadini akifuatiwa na mwenzake Tamima Abass Sheha wakipokea zawadi kutoka kwa mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wakati wa hafla ya Maulidi ya Jumuiya ya Chuo cha Samael Academy.Kulia ya Balozi Seif ni Rais wa Sameil Academy Sheikh Nassir Bin Said.

Wednesday, 29 April 2015

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanbzibar Balozi Seif akijibu maswali aliyoulizwa na Wanahabari wa Shirika la Magazeti ya Serikali la Zanzibar leo

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanbzibar Balozi Seif akijibu maswali aliyoulizwa na Wanahabari wa Shirika la Magazeti ya Serikali la Zanzibar leo Hafsa Golo aliyepo Kati   kati na Tatu Makame wa kwanza kushoto. Picha Hassan Issa - OMPR                 ...

Sunday, 19 April 2015

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akiwa na mwenyeji wake Meneja wa Kafaruu Beach Resort Spa Bwana Zakaria Juma wakiangalia baadhi ya majengo yaliyoteketea kwa moto juzi alfajiri.

 Baadhi ya Majengo ya Haoteli ya Karafuu Beach Resort Spa ya Michamvi yaliyoungua kwa moto usiku wa kuamkia juzi na kusababisha hasara ya mamilioni ya fedha. Picha Hassan Issa –OMPR – ZNZ.  Baadhi ya Majengo ya Haoteli ya Karafuu Beach Resort Spa ya Michamvi yaliyoungua kwa moto usiku wa kuamkia juzi na kusababisha hasara ya mamilioni ya fedha. Picha Hassan...

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akionya kwamba wananchi wanalazimika kujenga utamaduni wa kuthamini kazi za wabunifu na wasanii

Gwiji la Taarab asilia enzi zilee Msanii Khamis Juma akiwa miongoni mwa  wabunifu na wasanii maalum  wanne mwaka huu akikonga nyoyo za washiriki wa hafla ya ugawaji wa Mirabaha kwa wabunifu na wasanii Zanzibar zilizofanyika katika Ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Zanzibar.  Picha Hassan Issa – OMPR – ZNZ.  Mwenyekiti wa Kamati ya ugawaji Mirabaha ambae...

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimpongeza Mwanamichezo Maarufu wa Zanzibar Moh’d Raza kwa jitihada zake za kuunga mkono sekta ya Michezo hapa Nchini.

 Mwanamichezo Maarufu Nchini ambae pia ni Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Moh’d Raza Hassanali aliyesimama akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kabla ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa Timu ya Soka ya Ofisi ya Makamu wa Pili. Wa kwanza kulia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Dr. Khalid Salum Moh’d,  wa...

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akihudhuria Mkutano wa pamoja kati ya Uongozi wa Kampuni inayohusika na masuala ya Teknolojia ya Kisasa ya mawasiliano ya Baharini { SRT } na watendaji wa sekta ya Habarini hapo Zanzibar Ocean View.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Kati Kati akishindikizwa na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mh. Said Mohd Dimwa Kulia yake mara baada ya kuhudhuria Mkutano wa pamoja  kati ya Uongozi wa Kampuni inayohusika na masuala ya Teknolojia ya Kisasa ya mawasiliano ya Baharini  { SRT } na watendaji wa sekta ya Habarini hapo Zanzibar Ocean View. Picha...

Tuesday, 14 April 2015

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi msaada wa Vipaza sauti Amiri wa Jumuiya ya Sherehe za Siku Kuu ya Iddi Matemwe

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi msaada wa Vipaza sauti Amiri  wa Jumuiya ya Sherehe za Siku Kuu ya Iddi Matemwe Ustaadhi Kundi Choum Haji kutekeleza ahadi aliyoip[a Jumuiya hiyo wakati wa sherehe za siku kuu ya Iddi el Hajj iliyopita. Picha na Hassan Issa – OPMR – ZNZ. Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman ...

Monday, 13 April 2015

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiongea na Wafanyakazi wa shamba la Mipira Kichwele

Mmoja wa Wafanyakazi wa shamba la Mipira Kichwele akiwasilisha malalamiko yao mbele ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi hayupo pichani wakidai kutolipwa mishahara yao kati ya miezi mitatu hadi Minane. Mwakilishi wa Kampuni ya Agro Tec ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Bidi ya Uongozi wa Kampuni hiyo Bwana Soud Moh’d Achili akitoa ufafanuzi mbele ya Balozi...

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi leo akiwa Mgeni rasmi katika kuwaunga mkono Vijana wa Kikundi cha Sarakasi cha Bungi Muembe Kiwete Wilaya ya Kati

Kikundi cha Sarakasi cha We are Stong Acrobatic Show cha Bungi Muembe Kiwete kikitoa Burdani wakati wa sherehe za Kutimia mwaka mmoja toke kikundi hicho kupata usajili rasmi ambapo Mgeni rasmi alikuwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seifn Ali Iddi. Picha Hassan Issa – OMPR Kikundi cha Sarakasi cha Muungoni Wilaya ya Kusini Kikifanya vitu vyake katika sherehe...

Mhe. Balozi Seif Ali Iddi alitoa nasaha hizo wakati akiyafunga Mafunzo ya Miezi Mitatu ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Zanzibar { TEKNOHAMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Mkuu wa Mafunzo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Zanzibar Nd. Abdullah Othman Ali wakati wa hafla ya kuyafunga mafunzo hayo hapo Skuli ya Sekondari Donge Mkoa wa Kaskazini Unguja. Kati kati yao ni Mbunge wa Jimbo la Donge Mheshimiwa Sadifa Juma Khamis, na nyuma ya Balozi Seif ni Mratibu wa...