
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi
Mwanafunzi Isra Hilal Mwadini akifuatiwa na mwenzake Tamima Abass Sheha wakipokea zawadi kutoka kwa mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wakati wa hafla ya Maulidi ya Jumuiya ya Chuo cha Samael Academy.Kulia ya Balozi Seif ni Rais wa Sameil Academy Sheikh Nassir Bin Said.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Akiwa na Balozi mdogo wa India nchini Tanzania wakiangalia maonyesho yaliofanya na Msanii kutoka India, Bi Navi Madhav hapo Ngome Kongwe
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Dk. Khalid S. Mohamed
akizungumza na Wadau wa Maendeleo wa Mfuko wa TASAF, walipofika Ofisini kwake kuzungumzia maendeleo ya Mfuko wa TASAF III,na kutembelea Mradi wa Mpango wa Kunusuru Kaya masikini (PSSN) katika Jimbo la Muyuni Wilaya ya Kusini Unguja katika Kijiji cha Muyuni B
Wazir wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakifurahia jambo wakati wa semina ya siku moja kuhusu matokeo makubwa na ya haraka katika kuleta mageuzi ya kiuchumi na kuleta maendeleo nchini iliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja na kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
Tuesday, 24 March 2015
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akitia saini Mkataba wa uendelezaji wa Ujenzi wa Jengo la Upasuaji katika Hospitali ya Micheweni

Monday, 23 March 2015
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizindua rasmi Kikundi cha Mazoezi ya Viungo cha Upendo chenye Maskani yake katika Kijiji cha Uzini ndani ya Wilaya ya Kati.

Sunday, 22 March 2015
Makamu wa Pili wa rais ashiriki kwenye Kongamano la Wanawake na Uongozi katika Katiba inayopendekezwa

Thursday, 19 March 2015
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Akizungumza na Ujumbe wa Jamuhuri ya Ireland ukiongozwa na Waziri wa Nchi Maendeleo ya Biashara na Ushirikaino wa Ireland Bwana Sean Sherlock hapo Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar.

Tuesday, 17 March 2015
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akifanya ziara ya ghafla kwenye karakana ya Kiwanda cha Matrekta Mbweni.

Monday, 16 March 2015
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ametoa agizo kwa Wizara ya Ardhi, Makazi, Maji na Nishati Zanzibar kuufutia hati ya matumizi ya ardhi Mfuko wa kuhudumia Watoto yatima Zanzibar.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Wajumbe wa Bodi ya Mfuko wa Kuwaenzi Waasisi wa Taifa la Tanzania hapo Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar.
.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akionya Uongozi wa Kamisheni ya Wakfu na Mali Amana Kisiwani Pemba kuwapimia Viwanja Wananchi katika eneo la Kifoi Wete.
.jpg)
Sunday, 15 March 2015
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Akilizindua Tamasha la Pili la Uzalendo Tanzania la Mwaka 2015
