Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi

Mwanafunzi Isra Hilal Mwadini akifuatiwa na mwenzake Tamima Abass Sheha wakipokea zawadi kutoka kwa mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wakati wa hafla ya Maulidi ya Jumuiya ya Chuo cha Samael Academy.Kulia ya Balozi Seif ni Rais wa Sameil Academy Sheikh Nassir Bin Said.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizindua rasmi Bara bara ya pili ya Amani hadi Mtoni baada ya kukamilika awamu ya mwisho ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya kutimia miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar

Akiwa na Balozi mdogo wa India nchini Tanzania wakiangalia maonyesho yaliofanya na Msanii kutoka India, Bi Navi Madhav hapo Ngome Kongwe

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Dk. Khalid S. Mohamed

akizungumza na Wadau wa Maendeleo wa Mfuko wa TASAF, walipofika Ofisini kwake kuzungumzia maendeleo ya Mfuko wa TASAF III,na kutembelea Mradi wa Mpango wa Kunusuru Kaya masikini (PSSN) katika Jimbo la Muyuni Wilaya ya Kusini Unguja katika Kijiji cha Muyuni B

Wazir wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar

Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakifurahia jambo wakati wa semina ya siku moja kuhusu matokeo makubwa na ya haraka katika kuleta mageuzi ya kiuchumi na kuleta maendeleo nchini iliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja na kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein

Tuesday, 24 March 2015

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akitia saini Mkataba wa uendelezaji wa Ujenzi wa Jengo la Upasuaji katika Hospitali ya Micheweni

Afisa Uendeshaji Tiba Kisiwani Pemba Bwana Ali Moh’d Mbarawa  mwenye karatasi mkononi akimpatia maelezo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliyevaa suti ya buluu juu ya Ujenzi wa Jengo la Upasuaji katika Hospitali ya Micheweni kabla utiaji saini Mkataba wa uendelezaji wa ujenzi huo.Picha Hassan Issa –OMPR – ZNZ. Muonekano wa Jengo litakalokuwa...

Monday, 23 March 2015

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizindua rasmi Kikundi cha Mazoezi ya Viungo cha Upendo chenye Maskani yake katika Kijiji cha Uzini ndani ya Wilaya ya Kati.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikata utepe kuashiria kuyaruhusu maandamano ya wana mazoezi ya viungo wa vikundi mbali mbali walioshiriki uzinduzi wa IKikundi cha Upendo cha Uzini kuingia ndani ya viwanja vya michezo vya skuli ya Uzini. Kulia ya Balozi Seif ni Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Dr. Idriss Muslim Hijja na kushoto yake ni Waziri wa Habari,...

Sunday, 22 March 2015

Makamu wa Pili wa rais ashiriki kwenye Kongamano la Wanawake na Uongozi katika Katiba inayopendekezwa

Baadhi ya Wanawake walioshiriki kwenye Kongamano la Wanawake na Uongozi katika Katiba inayopendekezwa lililoandaliwa na Taasisi ya Mwanaharakati Siti Binti Saad lililofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Grand Palace Malindi Mjini Zanzibar. Picha Hassan Issa - OMPR – ZNZ. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akilifunguwa Kongamano la Wanawake na Uongozi katika...

Thursday, 19 March 2015

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Akizungumza na Ujumbe wa Jamuhuri ya Ireland ukiongozwa na Waziri wa Nchi Maendeleo ya Biashara na Ushirikaino wa Ireland Bwana Sean Sherlock hapo Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar.

  Balozi Wa Jamuhuri ya Ireland Nchini Tanzania Balozi Fionnuala Gilsenan aliyefuatana na ujumbe wa Nchi yake uliofanya ziara hapa  Zanzibar akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi nje ya Ofisi yake Vuga Mjini Zanzibar. Kati kati yao ni Waziri wa Nchi Maendeleo ya Biashara na Ushirikaino wa Ireland Bwana Sean Sherlock. Picha Hassan...

Tuesday, 17 March 2015

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akifanya ziara ya ghafla kwenye karakana ya Kiwanda cha Matrekta Mbweni.

 Mhandisi wa Kiwanda cha Matrekta Mbweni Haji Wa Haji Makame akimpatia Maelezo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi moja ya Mashine zinazotumika Kiwandani hapo. Picha Hassan Issa – OMPR – ZNZ.  Balozi Seif akiangalia Mashine inayotumika katika uburugaji wa mashamba ya Mpunga. Picha Hassan Issa – OMPR – ZNZ. Mkuu wa Kitengo...

Monday, 16 March 2015

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ametoa agizo kwa Wizara ya Ardhi, Makazi, Maji na Nishati Zanzibar kuufutia hati ya matumizi ya ardhi Mfuko wa kuhudumia Watoto yatima Zanzibar.

 Eneo la Mawe Mazito la Hecta 20 liliopo Vitongoji  chake chake Pemba ndilo pekee lilopbakia Kisiwani humo kwa ajili ya upatikanaji wa rasimlali ya jiwe kwa ujenzi wa miundombinu ya bara bara. Picha Hassan Issa– OMPR – ZNZ.  Afisa Mdhamini Wizara ya Ardhi, Makazi, Maji na Nishati Pemba Nd. Hemed Salum wa pili kutoka kulia akimpatia maelezo Balozi Seif aliyefika kukagua...

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Wajumbe wa Bodi ya Mfuko wa Kuwaenzi Waasisi wa Taifa la Tanzania hapo Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Wajumbe wa Bodi ya Mfuko wa Kuwaenzi  Waasisi  wa Taifa la Tanzania hapo Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar.  Kulia ya Balozi Seif ni Mwenyekiti wa Bodi hiyo Kanal Mstaafu Kabenga Nsa Kaisi na kushoto ya Balozi na Mke wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Zanzibar Mama Fatma...

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akionya Uongozi wa Kamisheni ya Wakfu na Mali Amana Kisiwani Pemba kuwapimia Viwanja Wananchi katika eneo la Kifoi Wete.

 Afisa mdhanini Ardhi, Makazi, Maji na Nishati Pemba Nd. Said Iddi Hamad wa pili kutoka kulia akimpatia maelezo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif aliyepo Kushoto kuhusu uamuzi wa Wizara hiyo wa kuwapimia Viwanja Wananchi katika eneo la Kifoi Wete ambalo limeleta mzozo na Kamisheni ya Wakfu Kisiwani Pemba. Picha na Hassan Issa – OMPR – ZNZ.  Balozi...

Sunday, 15 March 2015

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Akilizindua Tamasha la Pili la Uzalendo Tanzania la Mwaka 2015

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Wasanii 11 wa Kizazi kipya wanaoendesha Tamasha la Uzalendo Tanzania kabla yha klulizindua rasmi kwenye uwanja wa amani Mjini Zanzibar. Picha Hassan Issa – OMPR – ZNZ. Balozi Seif akitoa hotuba ya kulizindua Tamasha la Uzalendo Tanzania kwenye uwanja wa Amani lililoshuhudia na mamia ya wapenda burden...