Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi

Mwanafunzi Isra Hilal Mwadini akifuatiwa na mwenzake Tamima Abass Sheha wakipokea zawadi kutoka kwa mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wakati wa hafla ya Maulidi ya Jumuiya ya Chuo cha Samael Academy.Kulia ya Balozi Seif ni Rais wa Sameil Academy Sheikh Nassir Bin Said.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizindua rasmi Bara bara ya pili ya Amani hadi Mtoni baada ya kukamilika awamu ya mwisho ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya kutimia miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar

Akiwa na Balozi mdogo wa India nchini Tanzania wakiangalia maonyesho yaliofanya na Msanii kutoka India, Bi Navi Madhav hapo Ngome Kongwe

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Dk. Khalid S. Mohamed

akizungumza na Wadau wa Maendeleo wa Mfuko wa TASAF, walipofika Ofisini kwake kuzungumzia maendeleo ya Mfuko wa TASAF III,na kutembelea Mradi wa Mpango wa Kunusuru Kaya masikini (PSSN) katika Jimbo la Muyuni Wilaya ya Kusini Unguja katika Kijiji cha Muyuni B

Wazir wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar

Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakifurahia jambo wakati wa semina ya siku moja kuhusu matokeo makubwa na ya haraka katika kuleta mageuzi ya kiuchumi na kuleta maendeleo nchini iliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja na kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein

Sunday, 28 June 2015

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiifungua Semina ya Siku moja juu ya mwenendo wa sarafu ya Tanzania dhidi ya Dola ya Kimarekani kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Hapo Ukumbi wa Baraza hilo Mbweni Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiifungua Semina ya Siku moja juu ya mwenendo wa sarafu ya Tanzania dhidi ya Dola ya Kimarekani kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Hapo Ukumbi wa Baraza hilo Mbweni Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar. Picha na Hassan Issa – OMPR – ZNZ. Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Bwana Juma Hassan Reli akitoa ufafanuzi kabla ya kuanza...

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akizungumza na baadhi ya wateja na walikwa katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na Benki ya NMB Tawi la Zanzibar

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akizungumza mara baada ya futari ya pamoja iliyoandaliwa na Benki ya NMB Tawi la Zanzibar iliyofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Mjini Zanzibar. Picha na Hassan Issa – OMPR – ZNZ. Baadhi ya wateja na walikwa futari ya pamoja iliyoandaliwa na Benki ya NMB Tawi la Zanzibar ambapo mgeni rasmi alikuwa...

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiufunga Mkutano wa 20 wa Baraza la Wawakilishi kwenye ukumbi wa Baraza hilo hapo Mbweni uliokuwa ukijadili Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2015/2016.

Baadhi ya Wajumbe wa Barazala Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia Hotuba na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif hayupo pichani wakati akiufunga Mkutano wa 20 wa Baraza la Wawakilishi  kwenye ukumbi wa Braza hilo hapo Mbweni Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar. Picha Hassan Issa – OMPR – ZNZ. Balozi Seif Ali Iddi akiufunga Mkutano wa 20 wa Baraza la Wawakilishi ...

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balizi Seif Ali Iddi akiwaasa Wazee Nchini kuwadhibiti watoto wao kutojiingiza katika makundi yanayoandaliwa na baadhi ya watu

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Vijana na wazee wa Fujoni Nyumba ya Ndege alipokwenda kutekeleza ahadi yake ya kusaidia ujenzi wa uwanja wa michezo wa Fujoni Boys { Hibury }. Picha Hassan Issa – OMPR – ZNZ. Balozi Seif akimkabidhi fedha Taslim Shilingi Milioni 4,000,000/- Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kaskazini “ B “ Nd. Hilika Ibrahim...

Thursday, 25 June 2015

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Muasisi wa Chama cha ASP na muanzilishi wa Chama cha Mapinduzi Mzee Kombo.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Muasisi wa Chama cha ASP na muanzilishi wa Chama cha Mapinduzi Mzee Kombo  Mzee Kombo wakati alipokwenda nyumbani kwake Miembeni kumjulia hali. Picha Hassan Issa OMPR – ZNZ. Muasisi wa Chama cha ASP na muanzilishi wa Chama cha Mapinduzi Mzee Kombo  Mzee Kombo akimpatia...

Sunday, 21 June 2015

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikagua Kituo cha mradi huo { Comanding Post } kiliopo Malindi Mjini Zanzibar na kujionea Teknolojia mpya itakayotumika katika kuziongoza Kamera hizo.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akipata maelezo kutoka kwa Katibu wa Kamati ya Wataalamu ya usimamizi wa Mradi wa CCTV Camera Nd. Jabir Haji Abdulla juu ya mfumo wa utendaji kazi wa mradi wa Camera za kurikodi matukio mbali mbali ndani ya Mji Mkongwe wa Zanzibar. Kulia ya Balozi Sei ni Balozi Mdogo wa Jamuhuri ya Watu wa China aliyepo Zanzibar Bwana Xie...

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Wazee na Viongozi wa Shehia za Muyuni “A “ na Muyuni “B” katika kikao cha kujadili matatizo yaliyojitokeza baina ya Wananchi dhidi ya viongozi wao wa shehia hizo.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Wazee na Viongozi wa Muyuni “A “ na Muyuni “ B “ kabla ya kuzungumza nao kujadili tatizo la migogoro ya Ardhi. Picha Hassan Issa– OMPR – ZNZ. Baadhi ya Viongozi wa Shehia za Muyuni “A “ na Muyuni “ B “ wakimsikiliza Balozi Seif hayupo pichani wakati wa kujadili changamoto zinazowakabili za migogo...

Friday, 19 June 2015

Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi akitoa wosia wakati wa kuwapokea Vijana Sita wa Kijiji cha Fujoni walioamua kuacha kutumia Dawa za kulevya

Mbunge wa Jimbo la Kitope ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akisalimiana na mmoja kati ya Vijana sita walioamua kuachana na matumizi ya Dawa za Kulevya katika Kijiji cha Fujano hapo katika Viunga vya vya Skuli ya Fujoni. Kati kati yao ni Mwakilishi wa Umoja wa kusaidia mapambano dhidi ya matumizi ya Dawa za kulevya na Pombe Tanzania Bwana  Abdulrahman...

Tuesday, 16 June 2015

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wakati akiwaaga Madaktari Mabingwa wa China 21 waliomaliza muda wao wa kutoa huduma za Afya Zanzibar na kuwakaribisha wapya 21 walioingia Zanzibar mwishoni mwa wiki iliyopita kushika nafasi hizo.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwakaribisha Madaktari Mabingwa ya Jamuhuri ya Watu wa China waliowasili Zanzibar wiki iliyopita kushina nafasi ya wenzao waliomaliza muda wao wa miaka miwili. Picha na Hassan Issa – OMPR Mke wa Mkamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi na Mke wa Balozi Mdogo wa China hapa Zanzibar Bibi Xie Yun...