
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi
Mwanafunzi Isra Hilal Mwadini akifuatiwa na mwenzake Tamima Abass Sheha wakipokea zawadi kutoka kwa mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wakati wa hafla ya Maulidi ya Jumuiya ya Chuo cha Samael Academy.Kulia ya Balozi Seif ni Rais wa Sameil Academy Sheikh Nassir Bin Said.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Akiwa na Balozi mdogo wa India nchini Tanzania wakiangalia maonyesho yaliofanya na Msanii kutoka India, Bi Navi Madhav hapo Ngome Kongwe
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Dk. Khalid S. Mohamed
akizungumza na Wadau wa Maendeleo wa Mfuko wa TASAF, walipofika Ofisini kwake kuzungumzia maendeleo ya Mfuko wa TASAF III,na kutembelea Mradi wa Mpango wa Kunusuru Kaya masikini (PSSN) katika Jimbo la Muyuni Wilaya ya Kusini Unguja katika Kijiji cha Muyuni B
Wazir wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakifurahia jambo wakati wa semina ya siku moja kuhusu matokeo makubwa na ya haraka katika kuleta mageuzi ya kiuchumi na kuleta maendeleo nchini iliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja na kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
Sunday, 28 June 2015
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiifungua Semina ya Siku moja juu ya mwenendo wa sarafu ya Tanzania dhidi ya Dola ya Kimarekani kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Hapo Ukumbi wa Baraza hilo Mbweni Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akizungumza na baadhi ya wateja na walikwa katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na Benki ya NMB Tawi la Zanzibar

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiufunga Mkutano wa 20 wa Baraza la Wawakilishi kwenye ukumbi wa Baraza hilo hapo Mbweni uliokuwa ukijadili Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2015/2016.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balizi Seif Ali Iddi akiwaasa Wazee Nchini kuwadhibiti watoto wao kutojiingiza katika makundi yanayoandaliwa na baadhi ya watu

Thursday, 25 June 2015
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Muasisi wa Chama cha ASP na muanzilishi wa Chama cha Mapinduzi Mzee Kombo.

Sunday, 21 June 2015
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikagua Kituo cha mradi huo { Comanding Post } kiliopo Malindi Mjini Zanzibar na kujionea Teknolojia mpya itakayotumika katika kuziongoza Kamera hizo.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Wazee na Viongozi wa Shehia za Muyuni “A “ na Muyuni “B” katika kikao cha kujadili matatizo yaliyojitokeza baina ya Wananchi dhidi ya viongozi wao wa shehia hizo.

Friday, 19 June 2015
Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi akitoa wosia wakati wa kuwapokea Vijana Sita wa Kijiji cha Fujoni walioamua kuacha kutumia Dawa za kulevya

Tuesday, 16 June 2015
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wakati akiwaaga Madaktari Mabingwa wa China 21 waliomaliza muda wao wa kutoa huduma za Afya Zanzibar na kuwakaribisha wapya 21 walioingia Zanzibar mwishoni mwa wiki iliyopita kushika nafasi hizo.
